Umoja wa katiba ya wananchi nchini Tanzania-UKAWA- uliolisusia Bunge
maalum la katiba tokea mwezi Aprili, leo ulikuwa na mkutano na waandishi
habari .
Madhumuni ya mkutano huo ni kueleza msimamo wa UKAWA kuhusu yalioafikiwa
katika mazungumzo kati ya viongozi wa vyama vya kisiasa vinavyoundwa
kile kinachojulikana kama Kituo cha Demokrasia Tanzania na Rais jakaya
Kikwete kuhusu mkwamo
↧