Mtandao wa Instagram unaohusisha uwekaji picha umeendelea
kupata mashabiki wengi nchini Tanzania lakini wengi kati ya watumiaji
hao wameisababisha kuwa kati ya nchi zinazoongoza kwa matumizi mabaya ya
mtandao huo duniani kote.
Ripoti hiyo imetolewa na Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya
Mawasialiano Tanzania (TCRA), Innocent Mungy katika mahojiano maalum
aliyofanya na Ibrahim Issa wa
↧