SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(Chadema), Freeman Mbowe, kuwekewa pingamizi la kutogombea nafasi hiyo
kwa awamu ya tatu, Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi,
amesema kinachotokea kwenye chama hicho ni matokeo ya kupuuza ushauri
wake.
Mbowe amewekewa pingamizi na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa
Tabora, Kansa Mbarouk, ambaye
↧