Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

JK, Ukawa Wakubalina katiba mpya Ipatikane baada ya Uchaguzi mkuu 2015.....Vyama vya siasa kukuaa kufanya marekebisho ya 15 ya katiba ya 1977

$
0
0
HATIMAYE mvutano kati ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Serikali umefikia kikomo baada ya pande mbili hizo kukubaliana na Rais Jakaya Kikwete kuboresha Katiba ya mwaka 1977 na kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu mwakani.   Hatima hiyo ilifikiwa jana kwenye kikao kilichofanyika kati ya Rais Kikwete na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kinachoundwa na vyama vyenye wabunge ambavyo ni

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>