HATIMAYE mvutano kati ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na
Serikali umefikia kikomo baada ya pande mbili hizo kukubaliana na Rais
Jakaya Kikwete kuboresha Katiba ya mwaka 1977 na kuingia kwenye Uchaguzi
Mkuu mwakani.
Hatima hiyo ilifikiwa jana kwenye kikao kilichofanyika kati ya Rais
Kikwete na Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kinachoundwa na vyama
vyenye wabunge ambavyo ni
↧