Wakati serikali ikipiga marufuku disko la mitaani maarufu kwa jina la
‘Vigodoro’ bado kuna baadhi ya mikoa inapuuza agizo hilo ambapo
mwanamke mmoja ambaye mumewe anafanya kazi kwenye mgahawa uliopo ofisi
za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoani Morogoro, aliyetajwa kwa jina la
Mama Abdul (pichani), amejitoa fahamu kupitia Kigodoro na kujikuta
akisaula nguo hadharani.
Tukio
hilo
↧