Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Benki Kuu ya Tanzania Imetoa Toleo Jipya la Sarafu ya Sh. 500

$
0
0
BENKI Kuu ya Tanzania imetoa toleo jipya la sarafu ya shilingi 500 itakayoanza kutumika Oktoba 2014 itakayokuwa mbadala wa Noti ya shilingi 500 inayoonekana kuchakaa haraka. Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na Mkurugenzi wa Huduma za kibenki wa benki hiyo Bw. Emmanuel Boaz wakati wa mkutano na waandishi wa habari.   “Noti ya shilingi 500 hupita kwenye mikono ya watu wengi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>