BENKI Kuu ya Tanzania imetoa toleo jipya la sarafu ya shilingi 500
itakayoanza kutumika Oktoba 2014 itakayokuwa mbadala wa Noti ya shilingi
500 inayoonekana kuchakaa haraka.
Hayo yamesemwa leo Jijini Dar es salaam na Mkurugenzi wa Huduma za
kibenki wa benki hiyo Bw. Emmanuel Boaz wakati wa mkutano na waandishi
wa habari.
“Noti ya shilingi 500 hupita kwenye mikono ya watu wengi
↧