MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman
Mbowe, amewekewa pingamizi la kutogombea nafasi hiyo kwa awamu ya tatu
kwa madai ya kukiuka katiba ya chama hicho na maagizo ya Msajili wa
Vyama vya Siasa nchini.
Pingamizi hilo limewekwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Tabora, Kansa Mbarouk, ambaye pia ni mgombea wa nafasi hiyo.
Barua ya Mbarouk yenye
↧