Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), jana kilianza mkutano mkuu wa chama hicho ambapo Baraza la Wazee wa chama hicho lilichagua viongozi wake.
Akifungua mkutano huo, Mwenyekiti wa Baraza hilo anayemaliza muda wake, Nyangaki Shilungushela aliwataka wazee kushikamana na kusaidia ujenzi wa taifa kwani wazee ni hazina ya busara.
Alisema kupitia mkutano huo ambao pia
↧