Tume iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete kuchunguza vitendo vilivyotokana na utekelezaji wa Operesheni Tokomeza Ujangili nchini, imeanza rasmi kazi kwa kupokea taarifa na malalamiko mbalimbali kuhusu operesheni hiyo.
Aidha, katika kufanikisha majukumu yake, Tume hiyo inayoongozwa na Mwenyekiti wake, Jaji na Balozi mstaafu Hamisi Msumi, itatembelea maeneo mbalimbali nchini ili kukutana na
↧