Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Meneja Barclays adaiwa kuwasiliana na majambazi kupanga wizi

$
0
0
MENEJA wa Benki ya Barclays Tawi la Kinondoni, Alune Kasilika, amedaiwa kuwa aliwasiliana na watuhumiwa wa tukio la ujambazi katika benki hiyo wakiandaa utekelezaji wake.   Hayo yalidaiwa jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na Wakili wa Serikali, Janeth Kitali, mbele ya Hakimu Mkazi Nyigulile Mwaseba, wakati akiwasomea washtakiwa maelezo ya awali.   Kitali alidai siku ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles