kiongozi wa kundi la kigaidi la Al- Qaeda, Ayman Al-Zawahiri ametoa tangazo kuwa kundi hilo limefungua tawi jipya nchini India.
Kwa kujibu wa BBC, katika tangazo hilo lilitolewa kupitia kipande cha
video linaeleza kuwa nia ya kuanzisha tawi hilo ni kutaka kuhakikisha
wanapandisha bendera za Jihad kusini mwa bara la Asia kama walivyoweza
katika maeneo kadhaa nchini Iraq na Syria
↧