Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Al- Qaeda Yatoa Tangazo Jipya

$
0
0
kiongozi wa kundi la kigaidi la Al- Qaeda, Ayman Al-Zawahiri ametoa tangazo kuwa kundi hilo limefungua tawi jipya nchini India.    Kwa kujibu wa BBC, katika tangazo hilo lilitolewa kupitia kipande cha video linaeleza kuwa nia ya kuanzisha tawi hilo ni kutaka kuhakikisha wanapandisha bendera za Jihad kusini mwa bara la Asia kama walivyoweza katika maeneo kadhaa nchini Iraq na Syria

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>