Huffington Post limeripoti habari kutoka Uingereza ya
kusikitisha ya kijana Rhys Culley kumng’ata vibaya midomo mpenzi wake
Chanttelle Ward mwenye umri wa miaka 18 wakati anamkiss baada ya kuwa na
ugomvi unaohusisha na wivu wa mapenzi.
Kijana huyo wa miaka 23 alikuwa na wasiwasi baada ya kuhisi kuwa
mpenzi wake alikuwa anachat na mwanaume kwenye mtandao wa kijamii wa
Facebook
↧