Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mshtakiwa wa ugaidi aonyesha alivyolawitiwa na kuingizwa miti na Polisi

$
0
0
MMOJA wa watuhumiwa wa ugaidi katika kesi inayomkabili Kiongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu (JUMIKI) Zanzibar, Sheikh Farid Hadi Ahmed (43), amevunja ukimya mahakamani baada ya kuonyesha suruali ilivyolowa kwenye makalio akisema ni madhara ya kulawitiwa na kuingizwa miti na polisi.   Mshtakiwa huyo, Salum Ally Salum, aliamua kufanya hivyo juzi ili kuithibitishia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>