Jeshi la Polisi nchini limetoa onyo kwa
watu wanaotumia mitandao vibaya ikiwemo kutuma ujumbe wa matusi,
uchochezi, picha za utupu sanjari na kukashifu viongozi wa Serikali,
dini na watu mashuhuri.
Akizungumza Dar es Salaam, Septemba 3,2014
Msemaji wa Polisi, Advera Senso alisema kuwa tayari baadhi ya watu
wameshakamatwa na kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma hizo na wengine
↧