Mbunge wa Jimbo la Ubungo Jijini Dar es Salaam Mh. John Mnyika
anakusudia kumshtaki mahakamani Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda kwa kosa
la ofisi yake kushindwa kutangaza tarehe pamoja na maadalizi ya uchaguzi
wa serikali za mitaa.
Akizungumza
Jijini Dar es Salaam huku akiwa ameambatana na mwanasheria wake, Mh.
Mnyika amesema moja ya hoja zilizomo katika shauri watakalofungua kuwa
ni
↧