Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mnyika kumshtaki Waziri Mkuu Mizengo Pinda Mahakamani

$
0
0
Mbunge wa Jimbo la Ubungo Jijini Dar es Salaam Mh. John Mnyika anakusudia kumshtaki mahakamani Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda kwa kosa la ofisi yake kushindwa kutangaza tarehe pamoja na maadalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa. Akizungumza Jijini Dar es Salaam huku akiwa ameambatana na mwanasheria wake, Mh. Mnyika amesema moja ya hoja zilizomo katika shauri watakalofungua kuwa ni

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles