Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mjane Alipuliwa kwa Petrol usiku akiwa amelala....Kitendo cha mama huyo kuhama Ulokole na kujiunga na Uislam chadaiwa kuwa chanzo

$
0
0
MAMA mmoja mjane, Mwajuma Hamisi Lissu (42) ameteketea kwa moto baada ya nyumba aliyokuwa amelala eneo la Kibamba Hondogo A maarufu Miti Mirefu jijini Dar es Salaam, kulipuliwa kwa petroli usiku wa  Agosti 24, mwaka  huu. Tukio hilo la kusikitisha inadaiwa linahusishwa  na ugomvi baada ya mama  huyo kuachana na ulokole na  kujiunga tena katika dini yake ya zamani ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>