Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tatizo la mwanaume kupoteza au kukosa korodani

$
0
0
Ni tatizo au ugonjwa unaoweza kumpata mwanaume yeyote lakini zaidi kwa watoto wa kiume, hali hii inatokana na mtoto wa kiume kuzaliwa bila kuwa na korodani na hivyo mifuko ya korodani japo ipo lakini mitupu, au kuzaliwa na korodani lakini baadae zikapotea ghafla ukubwani.   Kupotea au kutokuwepo kwa korodani kunaweza kuhusisha korodani zotembili au moja, ni tatizo linalotokea kwa mtoto

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>