RAIS Jakaya Kikwete ametaka kuondolewa kwa mpango wa kuwalimisha wanafunzi ili waweze kupata chakula wakiwa shuleni kwani dhamana ya kumlisha mtoto ni ya mzazi na mtoto hatakiwi kujilisha mwenyewe.
“Dhamana hii lazima wazazi wabebe ili mtoto asilimie uji wake,” alisema Rais Kikwete. Aliyasema hayo jana wakati akizungumza na watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.
↧