Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete akataa wanafunzi kugeuzwa ‘matrekta’

$
0
0
RAIS Jakaya Kikwete ametaka kuondolewa kwa mpango wa kuwalimisha wanafunzi ili waweze kupata chakula wakiwa shuleni kwani dhamana ya kumlisha mtoto ni ya mzazi na mtoto hatakiwi kujilisha mwenyewe.   “Dhamana hii lazima wazazi wabebe ili mtoto asilimie uji wake,” alisema Rais Kikwete. Aliyasema hayo jana wakati akizungumza na watendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>