Mtu mmoja ambaye hakujulikana jina, amekutwa akiwa amejinyonga
ndani ya kibanda shambani huku akiwa na karatasi iliyoandikwa ujumbe
“Nawaachia dunia yenu muishi miaka 110”.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Kibiki, Ally Hussein
alisema kijana huyo mwanamume amekutwa saa mbili usiku akiwa amefariki
na hivyo kutoa taarifa katika Kituo cha Polisi Chalinze.
Alisema askari walifika na kuukuta
↧