Msanii wa filamu, Kajala Masanja, hivi karibuni
alijikuta akiwa kwenye wakati mgumu baada ya kukaa kwenye kiti na
kuachia sehemu zake nyeti kiasi cha kuwatoa udenda baadhi ya wanaume.
Tukio hilo lilijiri mkoani Tanga wakati msanii huyo alipokwenda
kwenye Tamasha la Fiesta, alipokaa kwenye kiti alijikuta akikaa vibaya
mazingira yaliyomfanya ahangaike ili kuziba maeneo yake muhimu.
↧