Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Aliyehisiwa kufa kwa ebola azua mjadala Geita....Alikuwa anatapika na kuhara damu, Mwili wazikwa na Serikali

$
0
0
Utata umegubika kifo cha Bertha Boniface (25) ambaye amefia Hospitali ya Wilaya Geita, kutokana na uvumi kuwa kifo chake kinatokana na ugonjwa wa ebola. Hata hivyo, madai hayo yamekanushwa na uongozi wa wilaya hiyo.    Viongozi hao wamedai hakuna mgonjwa aliyekufa kwa maradhi hayo na wala ugonjwa huo haupo. Umesema Bertha alikuwa akihisiwa kuwa na dalili za ebola.   Akizungumzia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>