Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),
Freeman Mbowe jana alikabidhiwa fomu na makada wa chama hicho na kumtaka
awanie tena kiti hicho, ombi ambalo alilikubali na kufungua milango kwa
wanachama wengine ‘kupimana naye kifua’.
“Nafasi bado ipo, anayetaka kupima kifua na mimi
ajitokeze. Tena nawaomba viongozi wangu msizuie fomu kwa anayetaka,”
alisema Mbowe ambaye
↧