Mama mmoja mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam, aliyejitambulisha kwa
jina la Mama Zahara, ameibuka na madai mazito akimtuhumu msanii wa
filamu ambaye pia ni mjasiriamali, Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu’
kumtumia ‘SMS’ za usagaji mwanaye aitwaye Zahara ambaye ni denti wa kidato cha pili.
MSIKIE MAMA MWENYEWE
Akizungumza kwa hasira,
Mama Zahara aliwaka: “Mimi nina mtoto huyu tu wa
↧