Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kesi ya kupinga bunge maalum la katiba yapangiwa jopo la majaji watatu

$
0
0
Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam imeanza mchakato wa kusikiliza kesi dhidi ya Bunge la Katiba baada ya kupanga jopo la majaji wa kuisikiliza.   Kesi hiyo namba 28 ya 2014, ilifunguliwa mahakamani hapo na mwandishi wa habari, Saed Kubenea kupitia kwa Wakili Peter Kibatala, dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, akiiomba mahakama hiyo itoe tafsiri sahihi ya mamlaka ya Bunge hilo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>