Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkurugenzi wa Airtel Tanzania ajimwagia maji ya barafu kujiunga na kampeni ya Fistula Ice Bucket Challenge(Video)

$
0
0
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Airtel Tanzania, Sunil Colaso amejimwagia maji ya barafu kuashiria kampuni yake kujiunga na kampeni iliyoanzishwa na Vodacom kuchangia matibabu na elimu kuhusu ugonjwa wa Fistula unaowapata akina mama wajawazito zaidi ya 30,000 nchini.   Airtel Tanzania wamepost picha kwenye ukurasa wao wa Instagram na video katika channel yao ya YouTube ikimuonesha

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>