Biashara ya ngono iliyokithiri katika mji wa Morogoro imegeuka kuwa
kero kwa wakaazi wa eneo hilo na familia zao hali inayowaweka hatarini
zaidi watoto wadogo wasio na hatia wanaokutana na kondom zilizotumika
huku mkuu wa Mkoa huo, Mheshimiwa Joel Bendera akinawa mikono kuhusu
suala hilo.
Wakati hayo yakiendelea Morogoro, serikali kuu imekuwa ikitafuta dawa kali ya kuweza kudhibiti
↧