Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete apongezwa kukutana na UKAWA

$
0
0
Wadau wengi wamepongeza hatua ya Rais Jakaya Kikwete kukubali kukutana na viongozi wa vyama vya siasa wakiwamo wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa lengo la kunusuru mchakato wa Katiba mpya. Abubakar Kapera, mkazi wa Kata ya Nyamanoro jijini Mwanza, alisema uamuzi wa Kikwete ni mzuri wa kukubali kukutana na kuzungumza na Ukawa, lakini hatua hiyo imechelewa. “Amechukua

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>