Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Halima Mdee Amwaga Machozi hadharani baada ya kukabidhiwa fomu ya kuwania uenyekiti wa Bawacha

$
0
0
Vigogo wa Baraza la Wanawake la Chadema (Bawacha), watachuana katika kinyang’anyiro cha kuwania uenyekiti wa baraza hilo baada ya jana baadhi ya wanawake kujitokeza kumchukulia fomu Mbunge wa Kawe, Halima Mdee.    Mbunge huyo anaungana na Mbunge wa Viti Maalumu, Chiku Abwao na wanachama wengine, Lilian Wasira na Sophia Mwakagenda ambao nao wamesharejesha fomu kuwania nafasi hiyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles