Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CCM yasema Itachunguza kama ni kweli Waziri mkuu Mizengo Pinda alifanya kampeni za Urais Akiwa jijini Mwanza

$
0
0
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimesema kuwa kitafanya uchunguzi wa kina ili kujiridhisha kabla ya kuchukua hatua dhidi ya Waziri mkuu Mizengo Pinda iwapo matamshi yake ya kutangaza nia ya kuwania Urais  kwenye uchaguzi mkuu hapo mwakani yaliambatana na vitendo vya kufanya Kampeni. Awali CCM kiliwahi kuwaonya baadhi ya vigogo kadhaa ambao walionyesha kuanza kufanya kampeni mapema ambapo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>