Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete Amteua Ali Siwa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Rwanda

$
0
0
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, amemteua Ndugu Ali Idi siwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kigali, nchini Rwanda. Uteuzihuo umefanyika kufuatia kuwepo kwa nafasi wazi iliyoachwa na Balozi Dkt Mwita Marwa Matiko ambaye amestaafu kwa mujibu wa Sheria. Ndugu Ali Siwa amekuwa katika utumishi wa umma tangu mwaka 1977 na uweza

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>