Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tamko la mkuu wa mkoa wa Kigoma baada ya watu wawili kufa kwa Ebola Congo DRC

$
0
0
Taarifa zinaarifu kwamba kati ya Wagonjwa nane waliokutwa na Ebola huko Congo DRC, wawili kati yao wamefariki dunia.  Taarifa hizi zimeendelea kuwashtua na kuwafanya majirani kuzingatia tahadhari ambapo mkuu wa mkoa wa Kigoma Issa Machibya amesema: "Pamoja na tishio la ugonjwa huu kwamba uko DRC Congo (DRC ya mbali sana kule kaskazini wanakopakana na Afrika ya kati na Sudan),

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>