Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania, Rene Meza amekuwa wa kwanza kumwagiwa
maji ya barafu kwa lengo la kushiriki kampeni iliyoanzishwa na Vodacom
kuchangia akina mama wajawazito wenye ugonjwa wa Fistula
#IcebucketChallenge au #IceBongo.
Kampeni hii imenzishwa na Vodacom kwa kutumia mfano wa kampeni
maarufu iliyoanzishwa nchini Marekani kwa ajili ya kuchangia utafiti wa
matibabu ya
↧