Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Video: Mkurugenzi wa Vodacom amwagiwa maji kuanzisha kampeni kuchangia Fistula #FistulaIcebucketChallenge

$
0
0
Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania, Rene Meza amekuwa wa kwanza kumwagiwa maji ya barafu kwa lengo la kushiriki kampeni iliyoanzishwa na Vodacom kuchangia akina mama wajawazito wenye ugonjwa wa Fistula #IcebucketChallenge au #IceBongo.   Kampeni hii imenzishwa na Vodacom kwa kutumia mfano wa kampeni maarufu iliyoanzishwa nchini Marekani kwa ajili ya kuchangia utafiti wa matibabu ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles