Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkapa Ajitosa Vita Dhidi ya Viongozi Walafi

$
0
0
Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa ameungana na Rais mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, kuunga mkono mapendekezo ya Sheria ya Mgongano wa Maslahi.   Akizungumza jana wakati akifungua kikao cha kujadili mapendekezo ya kutungwa kwa sheria hiyo,  Mkapa alisema mtumishi  au kiongozi anayedhani kuwa sheria   hiyo ni kandamizi, huenda akawa na tatizo la kutumia vibaya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>