Mwanafunzi wa Chuo cha Uuguzi Chimala wilayani
Mbarali, Mkoa wa Mbeya, Vena Mtati (27) (pichani) anashikiliwa na Jeshi
la Polisi Mkoa wa Iringa kwa madai mazito ya kumuua mtoto wake kwa
kumnyonga, kumtumbukiza kwenye mfuko wa rambo na kuutia ndani ya mfuko
wa salfeti kisha kuuficha chini ya kitanda.
Tukio hilo la kikatili ambalo limewashangaza wengi, hasa ikizingatiwa
kuwa mtuhumiwa
↧