Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanafunzi Amuua Mwanaye kwa kumnyonga na kisha kumficha uvunguni

$
0
0
Mwanafunzi wa Chuo cha Uuguzi Chimala wilayani Mbarali, Mkoa wa Mbeya,  Vena Mtati (27) (pichani) anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa kwa madai mazito ya kumuua mtoto wake kwa kumnyonga, kumtumbukiza kwenye mfuko wa rambo na kuutia ndani ya mfuko wa salfeti kisha kuuficha chini ya kitanda. Tukio hilo la kikatili ambalo limewashangaza wengi, hasa ikizingatiwa kuwa mtuhumiwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles