Rais mstaafu, Benjamini Mkapa amempigia debe Waziri Mkuu,
Mizengo Pinda kiana akisema ni kiongozi anayekubalika kwa wananchi,
hivyo wananchi wamuunge mkono kwenye nafasi yake ya sasa.
Pia, Mkapa amesema uadilifu wa Pinda ndiyo chanzo
cha watu kumwamini na kumkubali kutokana na kazi nzuri anayoifanya
serikalini, hivyo ni kiongozi mfano wa kuigwa.
Mkapa alitoa kauli hiyo juzi
↧