Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Benjamin Mkapa ampigia Pinda debe kiaina.....Asema ni kiongozi anayekubalika kwa wananchi

$
0
0
Rais mstaafu, Benjamini Mkapa amempigia debe Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kiana akisema ni kiongozi anayekubalika kwa wananchi, hivyo wananchi wamuunge mkono kwenye nafasi yake ya sasa.    Pia, Mkapa amesema uadilifu wa Pinda ndiyo chanzo cha watu kumwamini na kumkubali kutokana na kazi nzuri anayoifanya serikalini, hivyo ni kiongozi mfano wa kuigwa.   Mkapa alitoa kauli hiyo juzi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>