Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wanajeshi 480 wa Nigeria watorokea Cameroon

$
0
0
Wanajeshi 480 wa Nigeria wametorokea  nchi jirani ya Cameroon kufuatia makabiliano makali dhidi ya wapiganaji wa kundi la kiislamu la Boko Haram.   Msemaji wa jeshi la Cameroon Luteini Kanali Didier Badjek amethibitisha kisa hicho na kusema kuwa wamepokonywa silaha na sasa wamewekwa katika shule . Mapigano hayo yanaendelea karibu na mji ulioko mpakani wa Gamboru Ngala.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>