Na Edson Mkisi Jr
Wazee wetu walishawahi kuneno kwamba; Ukishangaa ya Mussa utayaona ya
filauni! Ndivyo unavyoweza kuanza kusema kuhusiana na tukio la
kushangaza lililotokea Kijiji cha Udindila Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa
Pwani.
Mchungaji wa Kanisa la EAGT aliyetambulika kwa jina la Boniface
Onesmo alijikuta akibubujikwa na machozi mara baada ya kushuhudia mkewe
Bi. Benta Boniface
↧