Waziri wa Afya wa Democratic Republic of Congo amethibitisha habari
ya kwanza kuwepo kwa watu 8 waliopimwa na kukutwa na virusi vya ugonjwa
wa Ebola. Mr Felix Kabange Numbi alisema,”The results are positive. The
Ebola virus is confirmed in DRC”.
DRC imekuwa ni nchi ya kwanza nje ya Africa Magharibi kuthibitisha
uwepo wa wagonjwa wa Ebola. Ugonjwa huu umeshasababisha vifo vya watu
↧