Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Pinda: Nitagombea Urais....Afichua sababu zilizomvuta kutangaza nia......Atataja sifa zake na makundi yanayomfagilia

$
0
0
Waziri wa Mkuu Mizengo Pinda, amevunja ukimya na kuamua kutangaza nia yake ya kutaka kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao wa 2015. Pinda alitangaza nia hiyo juzi usiku Ikulu ndogo ya Mwanza jijini Mwanza, mara baada ya kuwaalika wajumbe wa mkutano mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) toka mikoa sita ya Kanda ya Ziwa. Habari kutoka vyanzo vyetu vya kuaminika zilieleza kuwa Waziri

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>