Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tiko: Waume za watu Watamu lakini wanachosha maana hakuna uhuru.....Kwa sasa nahitaji Aliye Singo

$
0
0
Msanii wa filamu Bongo, Tiko Hassan amesema ameamua kuachana na tabia ya kuwa kimapenzi na waume za watu kwani ameona wanachosha na uhusiano huo hauna uhuru tofauti na ule wa aliye singo. Akipiga stori na mwandishi wetu, Tiko alisema ameamua kuachana na uhusiano wa kimapenzi na waume za watu kwani alikuwa na mume wa mtu lakini hakuona faida yoyote zaidi ya kukosa uhuru kutokana na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>