Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Papa amruhusu Padri Mosha wa Jimbo Katoliki la Moshi kuoa

$
0
0
Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis amekubali kumuondolea sakramenti ya upadri, Raymond Mosha wa Jimbo Katoliki la Moshi ikiwa ni miaka 20 tangu padri huyo aombe kuachana na daraja hilo.    Barua ya uamuzi wa Papa Francis ilisomwa juzi katika parokia na vigango vyote vya Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi katika ibada zilizofanyika katika makanisa ya jimbo hilo.   Miongoni

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles