MWANAFUNZI wa Shule ya Msingi Ludewa mkoani Njombe,
Ibrahim Faraja Chipungahelo (9) ameuawa kikatili na mbwa wanaosadikiwa
kuwa na kichaa kisha kuliwa nyama.
Moja ya mbwa anayedaiwa kumla mtoto Ibrahim Faraja Chipungahelo (9) akiwa ameuawa pia.
Tukio hilo lililoacha simanzi kubwa kwa wakazi wa Ludewa mjini
lilijiri saa 7 mchana wa Agosti 8, mwaka huu katika eneo la Ikilu ambapo
↧