Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Amkata Kichwa Mdogo wake ili Apate Utajiri.....Aondoka nacho, Akipeleka kwa Sangoma.....Ilikuwa akiweke Dukani ili wateja Wafurike

$
0
0
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamng’ang’ania mfanyabiashara maarufu wa Wilaya ya Mvomero, Johnson Damian Mkude (39) akituhumiwa kumkata kichwa mdogo wake wa kuzaliwa, Mathias kisha kuondoka nacho kwenda kwa mganga kwa kile kilichodaiwa ni kufanyiwa dawa ili awe bilionea. Tukio hilo ambalo kwa sasa ndiyo gumzo mkoani Morogoro lilijiri usiku wa Agosti 3, mwaka huu katika mashamba

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>