Wakati
baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakiendelea kupigana
vikumbo kuwania urais wa 2015, Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba,
amesema ameombwa na watu mbalimbali wakiwamo wazee na wasomi kuwania
nafasi hiyo.
Hata hivyo, Nchemba amesema kwa sasa hafikirii suala hilo kwani amebanwa na utekelezaji wa jukumu alilokabidhiwa na Rais.
Nchemba, ambaye pia ni Naibu
↧