Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) imesisitiza vitambulisho vya uraia, havitatumika kupiga kura katika uchaguzi mkuu, isipokuwa  kadi zitakazotolewa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Â
Mkurugenzi wa Uchaguzi, Julius Mallaba alifafanua jana jijini Dar es Salaam kwamba ni makosa kudhani  kuwa vitambulisho vinavyotolewa na Nida, vinaweza kutumika kupiga kura.
Â
“Haiwezekani
↧