Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tembo wavamia makazi ya watu na kuua, Longido mkoani Arusha

$
0
0
Kundi la Tembo limevamia makazi ya wananchi wa kata ya Tingatinga wilayani Longido mkoani Arusha na kusababisha kifo cha mtu mmoja na wengine kujeruhiwa.   wananchi wa kata hiyo wamedai kuwa aliyeuawa na Tembo hao ni mtoto wa miaka Tisa aliyetajwa kwa jina la Fred Joseph na Bw Paulo Lukasi ambaye amejeruhiwa na kulazwa hosipitalini.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>