Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Zahanati ya Ebola yavamiwa, polisi waingia mtaani kusaka wezi na wagonjwa waliotoroka

$
0
0
Kituo maalum kilichotengwa kwa ajili ya kuwaangalia watu wenye dalili za ugonjwa wa Ebola katika mji mkuu wa Liberia, Monrovia kimeshambuliwa na watu wasiojulikana waliopora vifaa.    Kwa mujibu wa BBC,  tukio hilo lilifanyika usiku wa Jumamosi iliyopita na watu takribani 30 walioliokuwa wamewekwa katika kituo hicho kwa lengo la kuangaliwa kama wana dalili za Ebola walitoroka.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>