Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ali Kiba awataka watu wasimgombanishe na Diamond

$
0
0
Ali Kiba ameeleza kutopendezwa na maelezo yanayoandikwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa yeye na Diamond wana ugomvi.   Akiongea na Bongo5 mwimbaji huyo amesema wapo watu ambao hutumia hata akaunti fake za Facebook kwa lengo la kuwagombanisha.   “Kila mtu anaandika anachotaka juu ya mimi na Diamond, mpaka wengine wanatumia akaunti fake za Facebook kutukosanisha, ndio maana nikasema

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>