Ali Kiba ameeleza kutopendezwa na maelezo yanayoandikwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa yeye na Diamond wana ugomvi.
Akiongea na Bongo5 mwimbaji huyo amesema wapo watu ambao hutumia hata akaunti fake za Facebook kwa lengo la kuwagombanisha.
“Kila mtu anaandika anachotaka juu ya mimi na Diamond, mpaka wengine
wanatumia akaunti fake za Facebook kutukosanisha, ndio maana nikasema
↧