Mwanasheria
mkuu wa serikali nchini Tanzania Jaji Fredrick Werema amesema hakuna
sheria inayompa mamlaka Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
kulivunja bunge maalum la katiba hivyo amewataka umoja wa katiba ya
wananchi UKAWA kurejea katika bunge hilo kwa lengo la kupata maridhiano
ya pamoja.
Jaji Werema amesema hayo jana jijini Dar es salaam wakati alipokuwa
akizungumza na
↧