Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Awataka UKAWA Warudi Bungeni.....Asisitiza kuwa Rais Kikwete hana Mamlaka kisheria ya Kulivunja Bunge hilo

$
0
0
Mwanasheria mkuu wa serikali nchini Tanzania Jaji Fredrick Werema amesema hakuna sheria inayompa mamlaka Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kulivunja bunge maalum la katiba hivyo amewataka umoja wa katiba ya wananchi UKAWA kurejea katika bunge hilo kwa lengo la kupata maridhiano ya pamoja.   Jaji Werema amesema hayo jana jijini Dar es salaam wakati alipokuwa akizungumza na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>