Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Abiria Wateseka kwa Zaidi ya Saa Sita Kibamba Dar

$
0
0
Abiria waliokuwa wanaelekea mkoani Mwanza kutoka Dar na gari la Princes Shabaha jana walikwama kwa saa sita baada ya basi hilo lenye namba za usajili T105 AVX  kuharibika maeneo ya Kibamba jijini Dar es Salam na kusababisha usumbufu miongoni mwa abiria hao.  Abiria wakiwa eneo lilipoharibika basi hilo pasipo kujua hatima yao.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles